Yohana 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sasa ulimwengu huu unahukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu+ huu atatupwa nje.+ Yohana 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Sitasema nanyi tena mambo mengi, kwa maana mtawala wa ulimwengu+ anakuja, naye hana uwezo juu yangu.*+ Waefeso 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo* wa ulimwengu huu,+ kulingana na mtawala wa mamlaka ya hewa,+ roho+ ambayo sasa inafanya kazi katika wana wa kutotii.
30 Sitasema nanyi tena mambo mengi, kwa maana mtawala wa ulimwengu+ anakuja, naye hana uwezo juu yangu.*+
2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo* wa ulimwengu huu,+ kulingana na mtawala wa mamlaka ya hewa,+ roho+ ambayo sasa inafanya kazi katika wana wa kutotii.