Luka 15:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi wakusanya kodi wote na watenda dhambi walikuwa wakikusanyika karibu naye ili kumsikiliza.+ 2 Mafarisayo na waandishi wakaendelea kunung’unika wakisema: “Mtu huyu huwakaribisha watenda dhambi na kula pamoja nao.”
15 Basi wakusanya kodi wote na watenda dhambi walikuwa wakikusanyika karibu naye ili kumsikiliza.+ 2 Mafarisayo na waandishi wakaendelea kunung’unika wakisema: “Mtu huyu huwakaribisha watenda dhambi na kula pamoja nao.”