Mathayo 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini unaposali, ingia ndani ya chumba chako faraghani, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri.+ Naye Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa. Marko 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Akapanda mlimani na kuwaita wale aliowataka,+ nao wakaja.+
6 Lakini unaposali, ingia ndani ya chumba chako faraghani, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri.+ Naye Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa.