Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 66:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Sasa mkono wangu mwenyewe uliumba vitu hivi vyote,

      Na vitu vyote vilikuja kuwapo kwa njia hiyo,” asema Yehova.+

      “Basi, nitamtazama huyu,

      Yule aliye mnyenyekevu na aliyevunjika rohoni na anayelitetemekea* neno langu.+

  • Mathayo 21:28-31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Mnaonaje? Mtu fulani alikuwa na watoto wawili. Akamwendea wa kwanza, akamwambia, ‘Mwanangu, leo nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu.’ 29 Akamjibu, ‘Sitaenda,’ lakini baadaye akajuta na akaenda. 30 Akamwendea wa pili na kumwambia jambo hilohilo. Naye akamjibu, ‘Nitaenda Baba,’ lakini hakwenda. 31 Kati ya hao wawili ni yupi aliyefanya mapenzi ya baba yake?” Wakasema: “Yule wa kwanza.” Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia wakusanya kodi na makahaba wanawatangulia ninyi kuingia katika Ufalme wa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki