Mathayo 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yule mwanamume kijana aliposikia hivyo, akaenda zake akiwa na huzuni, kwa maana alikuwa na mali nyingi.+ Marko 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini akasikitishwa na jibu hilo, akaenda zake akiwa na huzuni, kwa maana alikuwa na mali nyingi.+
22 Yule mwanamume kijana aliposikia hivyo, akaenda zake akiwa na huzuni, kwa maana alikuwa na mali nyingi.+
22 Lakini akasikitishwa na jibu hilo, akaenda zake akiwa na huzuni, kwa maana alikuwa na mali nyingi.+