Yohana 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yesu akamwambia: “Kwa kweli ninakuambia, mtu asipozaliwa tena,*+ hawezi kuuona Ufalme wa Mungu.”+ 1 Petro 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu* yenye kuharibika, bali kupitia ile isiyoharibika,+ kupitia neno la Mungu aliye hai na anayedumu.+ 1 Yohana 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu haendelei kufanya dhambi,+ kwa sababu mbegu* Yake hukaa ndani ya mtu huyo, naye hawezi kuendelea kufanya dhambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+
23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu* yenye kuharibika, bali kupitia ile isiyoharibika,+ kupitia neno la Mungu aliye hai na anayedumu.+
9 Kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu haendelei kufanya dhambi,+ kwa sababu mbegu* Yake hukaa ndani ya mtu huyo, naye hawezi kuendelea kufanya dhambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+