Yohana 12:42, 43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Hata hivyo, watawala wengi kwa kweli walimwamini,+ lakini hawakumkiri kwa sababu waliwaogopa Mafarisayo, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+ 43 kwa maana waliupenda utukufu wa wanadamu kuliko utukufu wa Mungu.+
42 Hata hivyo, watawala wengi kwa kweli walimwamini,+ lakini hawakumkiri kwa sababu waliwaogopa Mafarisayo, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+ 43 kwa maana waliupenda utukufu wa wanadamu kuliko utukufu wa Mungu.+