Yohana 7:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtanitafuta lakini hamtanipata, na mahali nilipo hamwezi kuja.”+ Yohana 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo, akawaambia tena: “Ninaenda zangu, nanyi mtanitafuta, na bado mtakufa katika dhambi zenu.+ Ninakoenda hamwezi kuja.”+
21 Kwa hiyo, akawaambia tena: “Ninaenda zangu, nanyi mtanitafuta, na bado mtakufa katika dhambi zenu.+ Ninakoenda hamwezi kuja.”+