34 Pia, Simeoni akawabariki na kumwambia Maria, mama ya yule mtoto: “Tazama! Mtoto huyu amewekwa rasmi kwa ajili ya kuanguka+ na kuinuka tena kwa wengi katika Israeli+ na kuwa ishara itakayosemwa vibaya+ 35 (ndiyo, upanga mrefu utakuchoma),+ ili mawazo ya mioyo mingi yafunuliwe.”