Luka 24:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Alipokuwa akiwabariki akatenganishwa nao, akaanza kuchukuliwa juu mbinguni.+ Yohana 6:62 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 62 Basi, itakuwaje mtakapomwona Mwana wa binadamu akipanda kurudi kule alikotoka?+