12 “Kisha mwanamume anayeitwa Anania, aliyemwogopa Mungu kulingana na Sheria, na kushuhudiwa vema na Wayahudi wote walioishi huko, 13 akaja nilipokuwa. Akasimama kando yangu, akaniambia, ‘Sauli ndugu, anza kuona tena!’ Papo hapo nikatazama juu nikamwona.+