Matendo 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Walipokuwa wakimhudumia* Yehova* na kufunga, roho takatifu ikasema: “Wawekeni kando kwa ajili yangu Barnaba na Sauli+ kwa kazi ambayo nimewaitia.”+ Matendo 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana roho takatifu+ na sisi wenyewe tumeona ni vizuri tusiwaongezee ninyi mzigo zaidi ila mambo haya ya lazima: Matendo 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Zaidi ya hayo, wakapitia Frigia na nchi ya Galatia,+ kwa sababu roho takatifu iliwakataza kuhubiri lile neno katika mkoa wa Asia. Matendo 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 isipokuwa kutoka jiji mpaka jiji roho takatifu inanitolea ushahidi tena na tena, ikisema kwamba nitafungwa gerezani na kupatwa na dhiki.+
2 Walipokuwa wakimhudumia* Yehova* na kufunga, roho takatifu ikasema: “Wawekeni kando kwa ajili yangu Barnaba na Sauli+ kwa kazi ambayo nimewaitia.”+
28 Kwa maana roho takatifu+ na sisi wenyewe tumeona ni vizuri tusiwaongezee ninyi mzigo zaidi ila mambo haya ya lazima:
6 Zaidi ya hayo, wakapitia Frigia na nchi ya Galatia,+ kwa sababu roho takatifu iliwakataza kuhubiri lile neno katika mkoa wa Asia.
23 isipokuwa kutoka jiji mpaka jiji roho takatifu inanitolea ushahidi tena na tena, ikisema kwamba nitafungwa gerezani na kupatwa na dhiki.+