Matendo 27:23, 24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Usiku huu malaika+ wa Mungu ambaye mimi ni mali yake na ambaye ninamtolea utumishi mtakatifu, alisimama kando yangu 24 akasema: ‘Usiogope, Paulo. Utasimama mbele ya Kaisari,+ na tazama! Mungu amekupa wale wote wanaosafiri pamoja nawe.’
23 Usiku huu malaika+ wa Mungu ambaye mimi ni mali yake na ambaye ninamtolea utumishi mtakatifu, alisimama kando yangu 24 akasema: ‘Usiogope, Paulo. Utasimama mbele ya Kaisari,+ na tazama! Mungu amekupa wale wote wanaosafiri pamoja nawe.’