Luka 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Walipokuwa wakisikiliza mambo hayo, akawaambia mfano mwingine, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu nao walifikiri Ufalme wa Mungu ungetokea ghafla.+ Luka 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Tulitazamia kwamba yeye ndiye angekomboa Israeli.+ Ndiyo, isitoshe hii ni siku ya tatu tangu mambo hayo yatokee.
11 Walipokuwa wakisikiliza mambo hayo, akawaambia mfano mwingine, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu nao walifikiri Ufalme wa Mungu ungetokea ghafla.+
21 Tulitazamia kwamba yeye ndiye angekomboa Israeli.+ Ndiyo, isitoshe hii ni siku ya tatu tangu mambo hayo yatokee.