Waroma 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Waliibadili kweli ya Mungu kwa ajili ya uwongo, nao wakaabudu* uumbaji na kuutolea utumishi mtakatifu badala ya kumtolea Muumba, anayesifiwa milele. Amina.
25 Waliibadili kweli ya Mungu kwa ajili ya uwongo, nao wakaabudu* uumbaji na kuutolea utumishi mtakatifu badala ya kumtolea Muumba, anayesifiwa milele. Amina.