1 Wakorintho 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mtu wa kimwili hayakubali* mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua, kwa sababu yanachunguzwa kiroho. 1 Wakorintho 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu yeyote asijidanganye: Ikiwa yeyote miongoni mwenu anafikiri ana hekima katika mfumo huu wa mambo,* acheni awe mpumbavu ili awe na hekima.
14 Lakini mtu wa kimwili hayakubali* mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua, kwa sababu yanachunguzwa kiroho.
18 Mtu yeyote asijidanganye: Ikiwa yeyote miongoni mwenu anafikiri ana hekima katika mfumo huu wa mambo,* acheni awe mpumbavu ili awe na hekima.