Mathayo 11:29, 30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Chukueni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu moyoni,+ nanyi mtapata burudisho kwa ajili yenu.* 30 Kwa maana nira yangu ni laini,* na mzigo wangu ni mwepesi.”
29 Chukueni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu moyoni,+ nanyi mtapata burudisho kwa ajili yenu.* 30 Kwa maana nira yangu ni laini,* na mzigo wangu ni mwepesi.”