3 Kwa kweli, mfikirieni sana yule ambaye amevumilia maneno makali kama hayo kutoka kwa watenda dhambi+ kinyume cha faida zao wenyewe, ili msichoke na kukata tamaa.*+
10 Usiogope mateso yatakayokupata hivi karibuni.+ Tazama! Ibilisi ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili, nanyi mtapata dhiki kwa siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo, nami nitakupa taji la uzima.+