2 Wakorintho 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi sikuzote sisi tuna uhodari mwingi na tunajua kwamba tukiwa na makao yetu katika mwili, hatupo mahali alipo Bwana,+ 2 Wakorintho 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini sisi tuna uhodari mwingi na tungependelea tusiwepo katika mwili bali tuyafanye makao yetu pamoja na Bwana.+
6 Basi sikuzote sisi tuna uhodari mwingi na tunajua kwamba tukiwa na makao yetu katika mwili, hatupo mahali alipo Bwana,+
8 Lakini sisi tuna uhodari mwingi na tungependelea tusiwepo katika mwili bali tuyafanye makao yetu pamoja na Bwana.+