Waroma 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Zingatieni mambo yaliyo mema kulingana na maoni ya* watu wote. 1 Wathesalonike 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+
15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+