Ufunuo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nami nikasikia sauti kubwa kutoka katika patakatifu+ ikiwaambia wale malaika saba: “Nendeni mkamwage yale mabakuli saba ya hasira ya Mungu juu ya dunia.”+ Ufunuo 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua,+ nalo jua likapewa ruhusa ya kuwaunguza watu kwa moto.
16 Nami nikasikia sauti kubwa kutoka katika patakatifu+ ikiwaambia wale malaika saba: “Nendeni mkamwage yale mabakuli saba ya hasira ya Mungu juu ya dunia.”+
8 Malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua,+ nalo jua likapewa ruhusa ya kuwaunguza watu kwa moto.