Ufunuo 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nikaona kimoja kati ya vichwa vyake kikiwa kimejeruhiwa vibaya lakini jeraha hilo la kifo lilipona,+ na dunia yote ikamfuata kwa mshangao yule mnyama wa mwituni.
3 Nikaona kimoja kati ya vichwa vyake kikiwa kimejeruhiwa vibaya lakini jeraha hilo la kifo lilipona,+ na dunia yote ikamfuata kwa mshangao yule mnyama wa mwituni.