Mathayo 25:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Hao watakatiliwa mbali milele,*+ lakini waadilifu watapata uzima wa milele.”+ 2 Wathesalonike 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Watu hao watapata hukumu ya adhabu ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele za Bwana na kutoka kwa utukufu wa nguvu zake, Ufunuo 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na papo hapo, wakasema kwa mara ya pili: “Msifuni Yah!*+ Na moshi kutoka kwake* unaendelea kupanda milele na milele.”+
9 Watu hao watapata hukumu ya adhabu ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele za Bwana na kutoka kwa utukufu wa nguvu zake,
3 Na papo hapo, wakasema kwa mara ya pili: “Msifuni Yah!*+ Na moshi kutoka kwake* unaendelea kupanda milele na milele.”+