Kutoka 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mara moja Musa na Haruni wakafanya kama Yehova alivyowaamuru. Akaiinua fimbo hiyo na kuyapiga maji ya Mto Nile mbele ya Farao na watumishi wake, na maji yote yaliyokuwa katika Mto Nile yakabadilika na kuwa damu.+ Zaburi 78:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Na jinsi alivyobadili mifereji ya Nile kuwa damu+Hivi kwamba hawangeweza kunywa maji kutoka katika vijito vyake.
20 Mara moja Musa na Haruni wakafanya kama Yehova alivyowaamuru. Akaiinua fimbo hiyo na kuyapiga maji ya Mto Nile mbele ya Farao na watumishi wake, na maji yote yaliyokuwa katika Mto Nile yakabadilika na kuwa damu.+
44 Na jinsi alivyobadili mifereji ya Nile kuwa damu+Hivi kwamba hawangeweza kunywa maji kutoka katika vijito vyake.