Ufunuo 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yule aliye na sikio na asikie+ yale ambayo roho inayaambia makutaniko: Yule atakayeshinda,+ kifo cha pili hakitamdhuru hata kidogo.’+ Ufunuo 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mwenye furaha na mtakatifu ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza;+ kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka 1,000.+
11 Yule aliye na sikio na asikie+ yale ambayo roho inayaambia makutaniko: Yule atakayeshinda,+ kifo cha pili hakitamdhuru hata kidogo.’+
6 Mwenye furaha na mtakatifu ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza;+ kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka 1,000.+