Ufunuo 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Tazama! Ninakuja kama mwizi.+ Mwenye furaha ni yule anayekaa macho+ na kutunza mavazi yake ya nje, ili asije akatembea uchi na watu waitazame aibu yake.”+ Ufunuo 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Yule anayetoa ushahidi kuhusu mambo haya anasema, ‘Ndiyo, mimi ninakuja upesi.’”+ “Amina! Njoo, Bwana Yesu.”
15 “Tazama! Ninakuja kama mwizi.+ Mwenye furaha ni yule anayekaa macho+ na kutunza mavazi yake ya nje, ili asije akatembea uchi na watu waitazame aibu yake.”+
20 “Yule anayetoa ushahidi kuhusu mambo haya anasema, ‘Ndiyo, mimi ninakuja upesi.’”+ “Amina! Njoo, Bwana Yesu.”