Agosti 20-26
LUKA 21-22
Wimbo 27 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Ukombozi Wenu Unakaribia”: (Dak. 10)
Lu 21:25—Matukio yenye kutisha yatatokea wakati wa dhiki kuu (kr 226 ¶9)
Lu 21:26—Maadui wa Yehova watajawa na woga
Lu 21:27, 28—Kuja kwa Yesu kutawaletea waaminifu ukombozi (w16.01 10-11 ¶17; w15 7/15 17-18 ¶13)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Lu 21:33—Tunaweza kuelewaje maneno ya Yesu katika mstari huu? (“Mbingu na dunia zitapitilia mbali,” “maneno yangu hayatapitilia mbali kamwe” habari za utafiti Lu 21:33, nwtsty)
Lu 22:28-30—Yesu alifanya agano gani, alilifanya pamoja na nani, na agano hilo linatimiza nini? (w14 10/15 16-17 ¶15-16)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Lu 22:35-53
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Onyesha jinsi ya kushughulika na mwenye nyumba aliye na shughuli nyingi.
Video ya Ziara ya Kurudia ya Pili: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 34
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 41 na Sala