2 Na tazama! tetemeko kubwa la ardhi lilikuwa limetokea, kwa maana malaika wa Yehova* alikuwa ameshuka kutoka mbinguni akaja na kuliviringisha lile jiwe, naye alikuwa amelikalia.+
2 Na, tazama! tetemeko kubwa la nchi lilikuwa limetukia; kwa maana malaika wa Yehova alikuwa ameshuka kutoka mbinguni akakaribia na kuliviringisha jiwe, naye alikuwa ameketi juu yake.+