27 walikuwa wakila, walikuwa wakinywa, wanaume walikuwa wakioa na wanawake wakiolewa, mpaka siku ambayo Noa aliingia ndani ya safina,+ na Gharika ikaja na kuwaangamiza wote.+
27 walikuwa wakila, walikuwa wakinywa, wanaume walikuwa wakioa, wanawake walikuwa wakiolewa, mpaka siku ile ambayo Noa aliingia katika safina, na gharika ikafika na kuwaangamiza wote.+