26 Ghafla tetemeko kubwa la ardhi likatokea na misingi ya jela ikatikiswa. Isitoshe, milango yote ikafunguliwa mara moja, na vifungo vyao wote vikafunguka.+
26 Kwa ghafula tetemeko kubwa la nchi likatukia, hivi kwamba misingi ya jela ikatikiswa. Zaidi ya hayo, milango yote ikafunguka mara moja, na vifungo vya wote vikafunguka.+