Mwanzo 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mara moja Abimeleki akamwita Isaka na kusema: “Kumbe, si mwingine bali ni mke wako! Kwa hiyo kwa nini ulisema, ‘Yeye ni dada yangu’?” Isaka akamjibu, akamwambia: “Nilisema hivyo kwa kuogopa nisije nikafa kwa sababu yake.”+
9 Mara moja Abimeleki akamwita Isaka na kusema: “Kumbe, si mwingine bali ni mke wako! Kwa hiyo kwa nini ulisema, ‘Yeye ni dada yangu’?” Isaka akamjibu, akamwambia: “Nilisema hivyo kwa kuogopa nisije nikafa kwa sababu yake.”+