Waamuzi 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye mwenyewe akageuka na kurudi alipofika mahali penye machimbo yaliyokuwa katika Gilgali,+ akasema: “Nina neno la siri kwako, Ee mfalme.” Basi akasema: “Nyamazeni!” Ndipo wote waliokuwa wamesimama kando yake wakatoka nje na kumwacha.+ Waamuzi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:19 w04 3/15 30; w97 3/15 30 Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:19 Mnara wa Mlinzi,3/15/2004, uku. 303/15/1997, uku. 30
19 Naye mwenyewe akageuka na kurudi alipofika mahali penye machimbo yaliyokuwa katika Gilgali,+ akasema: “Nina neno la siri kwako, Ee mfalme.” Basi akasema: “Nyamazeni!” Ndipo wote waliokuwa wamesimama kando yake wakatoka nje na kumwacha.+