-
Waamuzi 6:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Nao wakaanza kusemezana: “Ni nani ambaye amefanya jambo hili?” Wakauliza-uliza na kutafuta. Mwishowe wakasema: “Gideoni mwana wa Yoashi ndiye aliyefanya jambo hili.”
-