Ruthu 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Baadaye Boazi akamwambia Ruthu: “Umesikia binti yangu, sivyo? Usiende kuokota masalio katika shamba lingine,+ wala usivuke kutoka hapa, kwa hiyo ukae karibu na wanawake wangu vijana.+ Ruthu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:8 Mnara wa Mlinzi (Funzo),11/2016, uku. 3
8 Baadaye Boazi akamwambia Ruthu: “Umesikia binti yangu, sivyo? Usiende kuokota masalio katika shamba lingine,+ wala usivuke kutoka hapa, kwa hiyo ukae karibu na wanawake wangu vijana.+