2 Mambo ya Nyakati 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akaendelea kutuma manabii+ katikati yao ili kuwarudisha kwa Yehova; nao wakaendelea kutoa ushuhuda juu yao, lakini hawakusikiliza.+
19 Naye akaendelea kutuma manabii+ katikati yao ili kuwarudisha kwa Yehova; nao wakaendelea kutoa ushuhuda juu yao, lakini hawakusikiliza.+