Ezekieli 16:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘Sodoma dada yako, yeye pamoja na miji yake ya kandokando, hajatenda kulingana na uliyotenda, wewe na miji yako ya kandokando.+
48 Kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘Sodoma dada yako, yeye pamoja na miji yake ya kandokando, hajatenda kulingana na uliyotenda, wewe na miji yako ya kandokando.+