Ezekieli 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na ukahaba wake uliotoka Misri hakuuacha, kwa maana walikuwa wamelala naye wakati wa ujana wake, nao ndio waliokuwa wamebana vifua vya ubikira wake nao waliendelea kumimina juu yake uasherati wao.+
8 Na ukahaba wake uliotoka Misri hakuuacha, kwa maana walikuwa wamelala naye wakati wa ujana wake, nao ndio waliokuwa wamebana vifua vya ubikira wake nao waliendelea kumimina juu yake uasherati wao.+