Ezekieli 40:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Na chumba cha kulia chakula pamoja na mwingilio wake kilikuwa kando ya nguzo za kando za malango. Hapo ndipo walipokuwa wakioshea toleo zima la kuteketezwa.+
38 Na chumba cha kulia chakula pamoja na mwingilio wake kilikuwa kando ya nguzo za kando za malango. Hapo ndipo walipokuwa wakioshea toleo zima la kuteketezwa.+