Sefania 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova alikuwa mwadilifu katikati yake;+ hakuwa akifanya ukosefu wowote wa uadilifu.+ Asubuhi baada ya asubuhi aliendelea kutoa uamuzi wake wa hukumu.+ Wakati wa mapambazuko haukukosekana.+ Lakini asiye mwadilifu hakujua aibu yoyote.+ Sefania Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:5 w01 2/15 22 Sefania Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:5 Mnara wa Mlinzi,2/15/2001, uku. 22
5 Yehova alikuwa mwadilifu katikati yake;+ hakuwa akifanya ukosefu wowote wa uadilifu.+ Asubuhi baada ya asubuhi aliendelea kutoa uamuzi wake wa hukumu.+ Wakati wa mapambazuko haukukosekana.+ Lakini asiye mwadilifu hakujua aibu yoyote.+