Maelezo ya Chini
c Wakati uliotangulia, mtu asiyebatizwa aliyestahili kushiriki katika huduma ya shambani alitajwa kuwa “mshiriki anayekubaliwa.” Hata hivyo, “mhubiri asiyebatizwa” ni mtajo sahihi zaidi, hasa kwa sababu ya wonyesho wa Biblia kwamba kibali cha Mungu hutokana na wakfu halali na ubatizo wa Kikristo.