Maelezo ya Chini
a Kama watu wengi leo, Huxley aliona matendo ya Jumuiya ya Wakristo ya ukosefu wa haki. Katika insha moja kuhusu uagnosti, yeye aliandika hivi: “Kama tu sisi tungeweza kuona . . . ule unafiki na ukatili mwingi sana, ule uwongo mwingi, yale machinjo, ule wajibu mbalimbali uliokosa kutimizwa kwa wanadamu, ambao umetokana na chanzo hiki muda wote wa historia ya mataifa ya Kikristo, mabaya makubwa sana tunayoyawazia kuhusu Helo [moto wa mateso] yangefifia yasionekane.”