Maelezo ya Chini
c Baadhi ya ndugu na dada wasiotenda wanaweza kusaidiwa kwa kujifunza sura fulani za kitabu Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu, ilhali wengine wamenufaika kwa kujifunza tena sura fulani za kitabu Mkaribie Yehova. Halmashauri ya Utumishi ya Kutaniko itaamua ni nani anayefaa zaidi kuongoza funzo hilo.