Maelezo ya Chini
b Tafsiri ya Union Version inamalizia Sala ya Bwana kwa maneno: “Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.” Maneno haya ya kumsifu Mungu yanapatikana pia kwenye Biblia nyingine. Hata hivyo, kitabu The Jerome Biblical Commentary kinasema hivi: “Maneno hayo ya kumsifu Mungu . . . hayapatikani katika [hati] zenye kutegemeka zaidi.”