Maelezo ya Chini
c Watu wanaohisi kwamba wanahitaji msamaha wa Mungu wanaweza kujihisi wana hatia na hivyo wanashindwa kusali. Lakini Yehova anawasihi hivi: “Tunyooshe mambo kati yetu.” (Isaya 1:18) Mtu akiomba kwa unyenyekevu asamehewe, Yehova hatakataa kumsamehe.