-
Yakobo Alithamini Mambo ya KirohoMnara wa Mlinzi—2003 | Oktoba 15
-
-
Alikuwa Tofauti Sana na Ndugu Yake
Yakobo aligombana na ndugu yake hasa kwa sababu yeye alithamini mambo ya kiroho, lakini Esau aliyadharau. Yakobo alipendezwa na ahadi ya agano iliyotolewa kwa Abrahamu naye alijitoa kutunza familia ambayo Mungu alikusudia irithi ahadi hizo. Kwa hiyo Yehova “alimpenda.” Yakobo alikuwa mtu “asiye na lawama” maneno yanayomaanisha ubora wa kiadili.
-