-
Maswali Kutoka kwa WasomajiMnara wa Mlinzi—2002 | Septemba 15
-
-
Usemi “mwenye kung’aa” au “Lusifero,” unapatikana katika unabii wa Isaya alipowaamuru Waisraeli watangaze ‘mithali juu ya mfalme wa Babiloni.’ Kwa hiyo usemi huo ni sehemu ya maneno yaliyoelekezwa kwa utawala wa Babiloni.
-