-
Yehova Anyenyekeza Jiji Lenye KujigambaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
20, 21. Jirani za Babiloni washangiliaje kuanguka kwake?
20 Zaidi ya miaka 100 kabla ya Babiloni kuinuka kuwa serikali kubwa ya ulimwengu, Isaya atabiri jinsi ulimwengu utakavyotenda Babiloni aangukapo. Kupitia unabii, awaamuru hivi Waisraeli ambao wameachiliwa kutoka utekwani Babiloni: “Utatunga mithali hii juu ya mfalme wa Babeli, na kusema, Jinsi alivyokoma mwenye kuonea; jinsi ulivyokoma mji ule wenye jeuri!
-
-
Yehova Anyenyekeza Jiji Lenye KujigambaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Babiloni amejifanyia jina la kuwa mshindi mwenye kuonea, awafanyaye watu huru kuwa watumwa. Basi, yafaa kama nini kwamba kuanguka kwake kushangiliwe kwa “mithali” inayoelekezwa hasa kwa nasaba ya wafalme ya Babiloni—kuanzia kwa Nebukadreza na kuishia kwa Nabonido na Belshaza—iliyoongoza wakati wa siku za utukufu wa jiji hilo kubwa!
-