-
Shauri la Yehova Dhidi ya MataifaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Hekima wanayojivunia Wamisri, pamoja na ‘sanamu zao, na waganga wao,’ haiwaokoi kutoka katika “mikono ya bwana mgumu.” (Isaya 19:3, 4) Ashuru, Babiloni, Uajemi, Ugiriki, na Roma, zaishinda Misri kabisa.
-