-
Mkono wa Yehova WainuliwaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
5. Yehova huwalindaje wale wanaomtumaini kabisa?
5 Ingawa Yehova ni mwenye kutisha machoni pa adui zake, yeye ni kimbilio kwa wasikivu na wanyenyekevu wanaotaka kumtumikia. Huenda watu watishao wa kidini na kisiasa wakajaribu kwa njia zote kuivunja imani ya waabudu wa kweli, lakini wao hushindwa kwa sababu waabudu hawa humtumaini Yehova kwa ukamili.
-