-
Isaya Atabiri ‘Tendo la Ajabu’ la YehovaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
19. Yerusalemu litakuwaje “meko ya madhabahu,” na jambo hilo latukia lini, na jinsi gani?
19 Ingawa hivyo, Yehova sasa asema juu ya nini? “Ole wa Arieli, Arieli, mji ambao Daudi alifanya kituo chake ndani yake; ongezeni mwaka baada ya mwaka; sikukuu na zirudi wakati wake,
-
-
Isaya Atabiri ‘Tendo la Ajabu’ la YehovaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Huenda neno “Arieli” lamaanisha “Meko ya Madhabahu ya Mungu,” na yaonekana hapa neno hilo larejezea Yerusalemu. Huko ndiko liliko hekalu na madhabahu yake ya dhabibu. Wayahudi wana desturi ya kufanyia misherehekeo na kutolea dhabihu hapo, lakini Yehova haifurahii ibada yao. (Hosea 6:6)
-